Friday, August 16, 2013

Lulu kuizindua filamu yake mpya ‘Foolish Age’ August 30

Muigizaji wa filamu nchini, Elizabeth Michael aka Lulu anatarajia kuvunja ukimya wake kwenye big screen kwa kufanya uzinduzi mkubwa wa filamu yake mpya ‘Foolish Age’ tarehe 30 mwezi huu kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.


BPioqRICEAAvPGK
Uzinduzi huo utasindikizwa na burudani kutoka kwa Lady Jaydee na Machozi Band.
“Hatimaye narudi kazini, nahitaji support ya mashabiki wote wa Lulu na mashabiki wa Bongo Movie,” anasema Lulu.
Kiingilio kwenye uzinduzi huo kinatarajia kuwa shilingi 30,000.

No comments:

Post a Comment

ShareThis