Saturday, December 28, 2013

Picha: Wastara na waigizaji wengine wa filamu wamsomea dua marehemu Sajuki


Msanii wa filamu Wastara leo ameungana na wadau mbalimbali wa filamu makaburini Kisutu jijini Dar es Salaam kusoma dua kwaajli ya marehemu mume wake, Juma Kilowoko aliyekuwa maarufu kwa jina Sajuki.
Mzee Chiro akiwa na Wastara.
Mzee Chillo akiwa na Wastara
Hata hivyo Wastara alisema baada ya
shughuli ya leo. dua rasmi ya marehemu Sajuki itafanyikia nyumbani kwao Songea, January 2, 2014.
Wasanii wa filamu na wadau mbalimbali walijumuhika.
Wasanii wa filamu na wadau mbalimbali walijumuika.
Wastara na Frora Mvungi
Wastara na Flora Mvungi
Dua ikisomwa
Dua ikisomwa
IMG-20131228-WA0068
IMG-20131228-WA0069
IMG-20131228-WA0077
Picha kwa hisani ya Wastara

No comments:

Post a Comment

ShareThis