Sunday, May 17, 2015

Jose Chameleone amzawadia meneja wake gari mpya

Muimbaji Dr. Jose Chameleone wa Uganda amedhihirisha kuwa yeye ni boss anayejali wafanyakazi wake, kwa kumnunulia gari mpya meneja wake kama zawadi ya utendaji wake mzuri wa kazi.



Chameleone na meneja
Chameleone amemkabidhi bwana Nkuke Robert Jackson gari mpya aina ya Golf 5. Jackson ambaye anatimiza mwaka mmoja toka aanze kufanya kazi na Chameleone ametoa shukurani zake kwa kuandika:
meneja wa chameleone-2
“Good works deserve good rewards. I thank team for the ultimate gift 2015. A great artiste with a great heart just beat me this funky golf 5 thanks Chameleon.”
Source: Msetoea

No comments:

Post a Comment

ShareThis