Monday, August 26, 2013

Bendi ya Diamond Musica yapagawisha Dar Live

 Wanenguaji wa bendi ya muziki wa dansi wa Diamond Musica wakionyesha umahiri wao
katika ukumbi wa Dar Live, Dar es Salaam kwakati wa tamasha lililoandaliwa na kampuni ya simu ya Vodacom usiku wa kuamkia leo
 Manjonjo ya kila aina

 Madansa wakali
Waimbaji wa bendi ya muziki wa dansi wa Diamond Musica wakiimba katika ukumbi wa Dar Live, Dar es Salaam kwakati wa tamasha lililoandaliwa na kampuni ya simu ya Vodacom usiku wa kuamkia leo


No comments:

Post a Comment

ShareThis