Monday, August 12, 2013

FEZA:nikifika Bongo nitamkiss mwanangu

 
Feza Kessi ambaye usiku wa jana baada ya kutoka kwenye mjengo wa Big Brother‘The 


Chase’amefanya mahojiano leo na DSTV ambapo pamoja na mambo mengine aliulizwa kuwa akifika nyumbani kitu gani cha kwanza atakachokifanya alisema kuwa atambusu mwanaye aitwaye Jayden.
.‘Nikifika nyumbani nitamkisi mwanangu kichwani kwani nimemmis sana’’alisema Feza.

Pia pamoja na hayo alizungumzia kuhusu atakavyojikita kwenye muziki mara baada ya kutoka kwenye shindano hilo.

ShareThis