Wednesday, August 28, 2013

Picha: Bondia Phil Williams wa Marekani atua Dar kumkabili Francis Cheka Ijumaa hii

Bondia wa Marekani Phil Williams ametua nchini kwaajili pambano lake la raundi 12 dhidi ya Francis Cheka/ Pambano hilo litafanyika Ijumaa ya August 30 kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam.
Mdau wa michezo nchini Saidi kindeka kushoto akiwa na Bondia Phil Williams wa marekan Mdau wa michezo nchini Said Kindeka kushoto akiwa na bondia Phil Williams wa Marekani

Pambano hilo ni la kuwania mkanda wa WBF na kumpata bingwa mpya wa Super Middleweight.
Francis Cheka, ambaye kwa sasa ni bingwa wa IBF Continental Africa anarekodi ya kushinda mapambano 28, 16 ni KO na kushindwa mara saba tu.
Phil “The Drill” Williams, anayetokea Minneapolis, Minnesota, Marekani ana rekodi ya kushinda mapambano 12, 11 KOs na kushindwa mara 5.
Bondia Phil Williams wa marekani Bondia Phil Williams
Bondia Phil Williams wa marekani akiwa na mkanda wake wa ubingwa wa WBU Phil Williams akiwa na mkanda wake wa ubingwa
Bondia Phil Williams wa Marekani akiwa katika picha ya pamoja na wadau wa mchezo huo Phil Williams akiwa katika picha ya pamoja na wadau wa mchezo huo
Kocha Kocha wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila ‘Super D’ kulia akiwa na Phil Williams baada ya kutua nchini
Picha: www.superdboxingcoach.blogspot.com


No comments:

Post a Comment

ShareThis