Wednesday, October 9, 2013

Picha: Kutana na mjengo wa Sugu ‘The Khaki House’

CHADEMA aka vidole viwili inazunguka kwenye mishipa ya damu ya rapper mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi aka Sugu na ndio maana nyumba yake imepigwa rangi ya khaki.
601605_10151664714097548_1622011323_n

Ameipa jina Khaki House. Mbunge huyo ameshare picha ya nyumba yake kwenye Facebook na kuandika: Home : I call it ‘Khaki House’…


No comments:

Post a Comment

ShareThis