Saturday, November 9, 2013

List ya washindi wa tuzo za Mwanasoka bora 2013 Tanzania.

6 
Tuzo hizi za gazeti la Mwanaspoti zimetolewa November 8 2013 Dar es salaam Tanzania.
Ufungaji bora – Kipre Tchetche, Mwanasoka bora ni Haruna Niyonzima, Mchezaji bora wa
Tanzania anaecheza nje ni Mbwana Samatta,  Tuzo ya bao bora amechukua Thomas Ulimwengu wa TP Mazembe, Kipa mpya wa Yanga Juma Kaseja amechukua tuzo ya wachezaji 11 bora, mwingine aliechukua tuzo ya wachezaji 11 bora ni Amri Kiemba.
Leodgar Tenga alishinda tuzo ya Utawala Bora, Tuzo ya 11 Bora pia Kipre Tchetche wa Azam FC alipewa.

Winga wa Azam FC, Joseph Kimwaga akipokea tuzo ya Mchezaji Bora Chipukizi.
Winga wa Azam FC, Joseph Kimwaga akipokea tuzo ya Mchezaji Bora Chipukizi.
Mwanahaisi Omar ndio mchezaji Bora wa Kike,

3
1
7
10Mgeni rasmi Naibu waziri wa sayansi na teknolojia January Makamba akimpa tuzo ya heshima, Nahodha wa zamani wa timu ya soka ya Taifa Nicholaus Akwitende, nahodha mwingine wa zamani wa Taifa Stars aliechukua tuzo ya heshima ni John Lyimo, Omar Zimbwe pamoja naMbwana Abushiri.
18Wengine waliopewa tuzo usiku huu ni pamoja na Mtangazaji maarufu wa mpira wa zamani wa Radio Tanzania Dar es Salaam (RTD), sasa TBC, Mzee Mshindo Mkeyenge aliepewa tuzo yake ya heshima.
19
17\
Umeonaje tuzo hizi mtu wangu? una maoni yoyote?
Stori hii pamoja na picha, vyote vimeandaliwa na Mwandishi wa habari za michezo Bin Zubeiry wa bongostaz.blogspot.com

No comments:

Post a Comment

ShareThis